Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa

Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymond wameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, jiluo.BlogSpot.com imeinasa na kukusogezea track hiyo



Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa Reviewed by liluo on 4:58:00 AM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.