Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymondwameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, jiluo.BlogSpot.com imeinasa na kukusogezea track hiyo
Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa
Reviewed by liluo
on
4:58:00 AM
Rating: 5
No comments: